Katibu
Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akibadilishana hati
ya msaada wa shilingi bilioni 1.07 na Balozi wa Ufaransa nchini Marcel
Escure (kulia) jana jijini Dar es salaam. Fedha hizo zitasaidia sekta ya
umeme na uboresha wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere.
Balozi wa Ufaransa nchini Marcel Escure (kulia) akiongea mara baada ya kusaini makubaliano na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijja (kushoto) ya kuipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 1.07 jana jijini Dar es salaam. Fedha hizo zitasaidia sekta ya umeme na uboresha wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Fedha Ramadhan Khijjah (kushoto) akiongea mara baada
ya kusaini makubaliano na Balozi wa Ufaransa nchini na Balozi wa
Ufaransa nchini Marcel Escure (kulia) ya kuipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 1.07 jana jijini Dar es salaam. Fedha hizo zitasaidia sekta ya umeme na uboresha wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es salaam








No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)