
A model wearing Mustafa Hassanali's Design during the fashion Bussiness in Angola 15th of O ctober-2011
Nigerian Supermodel OLUCHI OMWEAGBA In A mustafa Hassanali
Grand finale Mustafa Hassanali collection at FIMA in Niamey in Niger on 26 November 2011.
--
MUSTAFA HASSANALI KUSHEHEREKEA MSIMU WA SIKUKU KWA MAUZO MAKUBWA
MAUZO YA KWANZA KABISA YA MITINDO KUTOKA KWA MBUNIFU WA KWANZA
MAUZO NI KWA SIKU TATU TU
Tukiwa
tunakaribia kumaliza mwaka, Mbunifu wa kiafrika kutoka Tanzania, Mustafa
Hassanali atasheherekea msimu huu kwa kufanya mauzo ya ubunifu wake
kuanzia tarehe 20th-22nd Desemba 2011.
Kwa mara ya
kwanza kabisa tangu alipoanza kazi yake ya ubunifu ,Mustafa Hassanali
atafanya pungozo kubwa la nguo zake za kutokea usiku kwa asilimia70.
Dhumuni la mauzo haya makubwa ni kufanya watanzania walio wengi kupata
Sanaa ya Mustafa kwa bei ya unafuu.
“Kukuza Dhana
ya vitengenezavyo Tanzania, Tunaelewa umuhimu wa uzalendo, na wakati wa
msimu huu wa skuku, hakuna kililcho bora kama bora kuvaa vazi la Mustafa
Hassanali . Ili kuweza kuongeza motisha, Tutatoa marekebisho ya kila
nguo itakayonunuliwa” alisema meneja masoko Hamis K Omary.
Mauzo
hayo Makubwa ya Mustafa Hassanali yatafanyika, Kilimani Road mkabala
Patricia Mezger clinic kuanzia saa 4 asubuhi hadi 12:00 jioni!
“Hii
ni nafasi ya mara moja katika maisha ya kujipatia ubunifu wa Mustafa
Hassanali kama zawadi kwa hii sikuku ya Krismasi kwa wapendwa wako
alihitimisha msemaji wa Kampuni ya Amisa Juma.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)