Mkuu
wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya (MB) akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake hivi karibuni
kuhusu bei ya bidhaa, hali ya mvua mkoani Rukwa, Hali ya Barabara na
usafi wa mazingira mkoani humo.
Baadhi
ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ofisini
kwake. Kulia ni Mussa Mwangoka (Mwananchi-Rukwa), Sammy Kisika (Star TV
na RFA-Rukwa), na Petty Siame (Daily News/ Habari Leo- Rukwa) Kushoto
ni Kaimu Mkurugenza wa Manispaa ya Sumbawanaga, Bw. Maulid.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)