
Mchambuzi
wa Mifumo ya Kompyuta kutoka Idara ya Usimamizi wa Mifumo ya Fedha ,
Wizara ya Fedha Elimu Sekeni(kushoto) akimwonyesha Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd (katikati) picha za Mawaziri
waliowahi kuiongoza Wizara hiyo tangu mwaka 1961 hadi 2011 jana jijini
Dar es salaam wakati kiongozi huyo aliopotembelea Banda la Wizara ya
Fedha katika maonyesho ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayoendelea katika
Viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kulia ni Naibu Waziri wa
Fedha Pereira Silima.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)