Wakurugenzi
wa benki ya Exim Tanzania Hanif Jaffer (wa pili kulia) na Shaffin
Jamal wakikata utepe kuashiria uzindua rasmi wa tawi jipya la Buguruni
katika hafla fupi iliyofanyika jana Dar es Salaam. Tawi hilo linaifanya
benki hiyo kuwa na jumla ya matawi 22 nchini.Kulia ni Meneja Mkuu
Dinesh Arora na kushoto ni Meneja wa tawi Furanaeli Kimaro na wengine
ni wafanyakazi na wateja wa benki hiyo.
Meneja wa Benki ya Exim Tanzania tawi la Buguruni Furanaeli Kimaro (kushoto) akiagana na Mkurugenzi wa benki hiyo Shaffin Jamal baada
ya kuzindua rasmi tawi jipya la Buguruni katika hafla fupi
iliyofanyika jana Dar es Salaam. Tawi hilo linaifanya benki hiyo kuwa
na jumla ya matawi 22 nchini.Wengine Meneja Mkuu Dinesh Arora (wa pili
kushoto) na wa pili kulia ni Mkurugenzi wa benki hiyo Haniff Jaffer .Source:Full Shangwe
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)