Bendi ya Twanga pepeta Yafunika Bovu Birmingham - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Bendi ya Twanga pepeta Yafunika Bovu Birmingham


Jojoo akicharaga gitaa




Chalz akifanya makamuzi
mpiga drum wa Twanga akiwa mzigoni
Wana Twanga wakitoa Burundani ya Nguvu
Luiza akila pozi na washabiki wa Twanga
Full kula Bata.
 Birmingham palikua hapatoshi
---
Bendi ya Twanga pepeta ilifanya makamuzi ya nguvu katika mji wa Birmingham siku ya Jumamosi tarehe 3 Desemba 2011 ndani ya ukumbi wa La Reference iliyohudhuriwa na mamia ya wadau mbalimbali wa muziki kutoka pande zote karibu na mji wa Birmingham na vitongoji vyake pamoja na london.

Tunapenda kutoa shukrani kwa wale wote walioweza kufika katika show hii.

Asanteni

Urban Pulse Creative wakishirikiana na Miss Jestina Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages