Wanafunzi
kutoka shuleza sekondari wakiwa katika banda la Kampuni ya Simu
Tanzania (TTCL) lililopo Manzi Mmoja jijini Dar es Salaam yanapoendelea
maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru. TTCL ni miongoni mwa makampuni ya mwanzo
ya huduma ya mawasiliano nchini. Maonresho haya yameandaliwa na Wizara
ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
Hiki
ndo kizazi ambacho haswakina pendakupata historia halisi ya Uhuru wa
Tanganyika, miongoni mwa Makampuni ya Mwanzo ni TTCL na hapa wanafunzi
wakipata zawadi na vipeperushi juu ya Historia ya Kamouni hiyo.
Waziri
wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dk. Makame Mbarawa pamoja na
viongozi wengine wa Wizara (kulia) wakipata maelezo ya historia ya TTCL
hapo zamani.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)