Mwenyekiti
wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya
Taifa (NEC) ya CCM, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.Kushoto ni
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Amani Abeid Karume na kulia ni
Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama.
Makamo
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Amani Karume,akiwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM
Taifa,Dk Ali Mohamed Shein, wakiwa katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya
CCM NEC,katika ukumbi wa white house Mjini Dodoma.
Mjumbe
wa NEC na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa
ufafanuzi kuhusu jambo lililokuwa likijadiliwa katika kikao hicho .
Waziri
Mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa na Waziri Ali Juma Shamuhuna
mjumbe wa NEC,wakibadilishana mawazo wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa huko Dodoma.
Waziri
Mkuu mstaafu wa Tanzania,pia mjumbe wa Mkutano wa Halamashauri Kuu ya
CCM Taifa,Mhe Fredric Sumaye,akisalimiana na Katibu wa sektariueti ya
Oganization ya CCM Mhe Asha Abdalla Juma,katika ukumbi wa White House
Mjini Dodoma,ukiwa mkutano huo unaendelea kwa siku ya pili jana
Katibu
wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi CCM, Nape NNauye
akifuatilia kwa makini mijadala mbalimbali iliyokuwa ikiendelea katika
mkitano wa NEC mjini Dodoma Jana. Kulia ni Katibu wa NEC, Mambo ya Nje
Januari Makamba.
Wajumbe
wa NEC, Spika wa Bunge Anna Makinda na Abdulrahman Kinana wakitazama
jarida la masuala ya siasa wakiwa kwenye kikao hicho.
Katibu
wa NEC, Mambo ya Nje Januari Makamba na Katibu wa NEC Oganaizesheni
Asha Abdallah Juma wakijadili jambo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar, Vuai Ali Vuai
Wajumbe wa NEC, Angella Kairuki na Anna Abdallah wakionyeshana mambo kwenye mtandao wakati wakiwa kwenye kikao cha NEC jana
Katibu
wa NEC Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akimsalimia Mjumbe wa NEC
Andrew Chenge.Picha Bashir Nkromo na Ramadhani Othman Wa Ikulu Zanzibar
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)