Rais wa
Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi
Mkuu wa Makumbusho ya Sultan Al–Qasimi, Bwana Ali Almarri wakati
alipotembelea makumbusho hayo mjini Sharjah, Muungano wa Falme za
Kiarabu(UAE). (Picha na Ramadhan Othman).
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)