Kocha
Mkuu wa timu ya Taifa Taifa Stars, Jan Poulsen, akiwa hoi akishika
kiuno baada ya mpira kumalizika na timu yake kulala kwa bao 1-0 dhidi ya
Chad katika mchezo uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' Mbwana Samatta, akimtoka beki wa Chad, Sylvain Doubam, wakati wa mchezo marudiano kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mpaka hivi sasa bado ni droo na mpira ni mapumziko ukitarajiwa kuanza kipindi cha pili baada ya dakika chache zijazo.
Kiungo Mshambuliaji wa Stars, Nizar Khalfan, akijiandaa kupiga kona wakati wa mchezo huo.
Chad 1, Stars 0, Mrisho Ngasa, akimtesa beki wa Chad.
Mshambuliaji wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' Mbwana Samatta, akimtoka beki wa Chad, Sylvain Doubam, wakati wa mchezo marudiano kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mpaka hivi sasa bado ni droo na mpira ni mapumziko ukitarajiwa kuanza kipindi cha pili baada ya dakika chache zijazo.
Kiungo Mshambuliaji wa Stars, Nizar Khalfan, akijiandaa kupiga kona wakati wa mchezo huo.
Chad 1, Stars 0, Mrisho Ngasa, akimtesa beki wa Chad.
Kwa
matokeo hayo sasa timu ya Taifa Stars imefanikiwa kupenya katika
michuano hiyo ya hatua ya awali ya mtoano kutinga kwenye makundi ya
kushiriki katika kundi C lenye jumla ya timu nne za Ivory Coast, Morocco
na Gambia, kuelekea fainali za Kombe la Dunia zinazotarajia kufanyika
2014 nchini Brazil.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)