Mkimbizi
mwenge Elisha Lawrence Gama akitoa ujumbe wa mwenge kwa wananchi wa
wilaya ya namtumbo mkoani ruvuma,juzi katika viwanja vya ccm wilayani
Mwenge ukikimbizwa wilayani Namtumbo
Kiongozi
wa mbio za mwenge kitaifa Bi Mtumwa Rashid Alfani akijiandaa kumpa tone
la vitamini A mtoto wa miaka 2 Athumani Idd baada ya kuzindua zoezi la
chanjo kwa watorto walio chini ya umri wa miaka mitano wilayani namtumbo
juzi,
Kiongozi
wa mbio za mwenge Bi Mtumwa Rashid Alfani akimpatia tone la vitamini A
Suzy Lucas Njela ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa zoezi la chanjo kwa
watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano katika wilaya ya
namtmkoani Ruvuma juzi ambapo wilaya hiyo imekusudia kutoa chanjo ya
magonjwa mbalimbali kwa watoto zaidi ya 143133 kiwango ambacho ni
kikubwa ikilinganishwa na wilaya nyingine za mkoa huo,
Mkuu
wa mkoa wa Ruvuma Bw Said Mwambungu kulia,akisisitiza jambo wakati
alipotembelea mabanda ya maonesho kwenye ufunguzi wa sherehe za miaka 50
ya uhuru ambazo kimkoa zilifankika katika viwanja vya nane nane mjini
songea jana,Kushoto ni dkt Ngowi wa hospitali ya mkoa songea.Picha Zote
na Muhidin Amri
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)