Makamu
wa Kwanza wa Rais a Zanzibar, Seif Sharrif Hamad (kushoto)akielekea
kupanda Boti la Mv Kilimanjaro, kwenye Bandari ya Dar es Salaam, tayari
kwa safari ya kwenda Zanzibar.
Maalim Seif akisaliana na manahodha wa meli hiyo
MaalimSeif
akiwa ndani ya Boti hiyo ya kisasa iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais
wa Zanzibar, Dk ali Mohamed Shein.Picha na Mdau Richard Mwaikenda
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)