Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Kwanza ya Jiografia na Mazingira ya Chuo Kikuu Cha Dodoma wakisubiri kutunukiwa shahada zao
Picha Hapo Mbele ni Meza Kuu Ambapo Mgeni Rasmi Atakuwa hapo Mbele kama panavyoonekana.
Wahitimu Wa Shahada ya Kwanza Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakipozi Mbele ya Kamera Ya Lukaza Blogu. Kutoka Kushoto ni Juma Ramadhani, Manase Kavishe na Rafiki yao Mpendwa.
Sehemu ya Kupiga Picha Za Ukumbusho Kama Inavyoonekana Katika Picha
Baadhi Ya Wahitimu Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakisubiri Kutunukiwa Shahada zao muda huu
Sehemu ya Kupiga Picha Za Ukumbusho Kama Inavyoonekana Katika Picha
Baadhi Ya Wahitimu Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakisubiri Kutunukiwa Shahada zao muda huu
Nikiwa Katika Picha Ya Pamoja na Mdau wa Lukaza Blogu Manase Kavishe wa Kwanza Kushoto
Endelea Kutembelea Lukaza Blogu Kwa Matukio Zaidi
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)