Wakazi wa eneo hilo wakishuhudia moto baada ya kuwa wameokoa mali za watu...
Moto Ukiwa umepamba Moto huku wanajeshi wakiwa wanafanya Juhuzi za kuzima
wanajeshi wakiendelea kuzima moto
Wanajeshi wakifanya kazi kwa ushirikiano wa ukaribu kabisa kuokoa mali za watu
Wanajeshi wakiendelea kuzima Moto zaidi Kunusuru mali na maisha ya wakazi eneo Hilo
wanajeshi
wakiendelea kuzima moto wakati kikosi cha kuzima moto kikisubiriwa
ambacho kiliwasili baada ya moto kuwa umedhibitiwa kwa 99%
Gari Maalum la zima Moto likiwa eneo la Tukio Saa moja baada ya moto Kutokea
Baadhi ya Vitu vilivyo okolewa
************
ZIMA
WAKA ZIMA WAKA YA UMEME HAPA JIJINI DAR ES SALAAM NDIO ZIMESABABISHA
MOTO KUWAKA KATIKA NYUMBA ZA JESHI HUKO KAMBI YA LUGALO HATA HIVYO
WAMEOKOA BAADHI YA MALI NA ZENGINE KUTEKETEA. WANAJESHI WAMEJITAHIDI
SANA KUFANYA KAZI YA KUZIMA MOTO KUTOKANA NA KWAMBA GARI LA ZIMA MOTO
LILIFIKA SAA MOJA NA NUSU BAADAE
HABARI IMELETWA NA RIPOTA WETU
ENOCK TARIMO WA LATEST NEWS TZ BLOGU
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)