Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akimuliza
Jambo Ofisa wa Huduma za Forodha Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw
Abduliah Ali alipotembelea Kitengo cha Kima cha Huduma za Forodha Kulia
Meneja Huduma Bw Victor Msuya
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipewa
Maelezo na Meneja Port Operostons Bw John Micah kwenye Hala la Kuekea
Mizigo inayokwenda Zanzibar Bandari Mjini Dar es Salaam Wakati wa Ziara
ya kutembelea Mamlaka ya Mapato Tanzania[TRA]
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata
Maelezo ya Kuskani Makontena kwa Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania {TRA}Bw Harry Kitillya wakati wa Ziara ya Waziri Bandarini
Kulia Mkurugenzi wa Idara ya Muungano Baraka Baraka na Mukurugenzi
Mipango Ofisi ya Makamu waRais Bi Joan Mbuya.
Picha na Ali Meja





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)