VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MADARASA MAWILI YENYE THAMANI YA SH. MILIONI 37. SHULE YA SEKONDARI LUSAKA RUKWA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MADARASA MAWILI YENYE THAMANI YA SH. MILIONI 37. SHULE YA SEKONDARI LUSAKA RUKWA

Afisa tarafaBw. Peter Masidi akifungua rasmi vyumba viwili vya madarasa ya shule ya Sekondari Lusaka  yaliyojengwa kwa msaada wa Vodacom Foundation yenye thamani ya shilingi milioni 37 (kulia) ni  Mkuu wa Vodacom Foundation Bw. Yessaya Mwakifulefule .
Mkuu wa Vodacom Foundation Bw. Yessaya Mwakifulefule akimshukuru AfisaElimuYaSekondariWilayaya Sumbawanga Bi. Emilia Fungo mara baada ya hafla fupi ya kukabidhi vyumba viwili vya madarasa yaShuleyasekondari Lusaka wilayanihumovyenyethamaniya sh. Milioni 37 viivyojengwa kwa msaada wa Vodacom Foundation
Kikundi cha wanawake kikitoa burudani katikahaflafupiya makabidhianoyamadarasamawili yaliyojengwa kwa msaada wa Vodacom Foundation kwa ShuleyaSekondari Lusaka Wilayaya Sumbawanga.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages