
Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao katikati akimsikiliza Kaimu
Mkurugenzi wa CCBRT Haika Mawala akiongea mara alipotembelea hospitali
hiyo akiwa na lengo la kutoa msaada kwa kina mama wanaosumbuliwa na
ugonjwa wa festula mara alipowasili nchini hivi karibuni,Kushoto Ofisa
Mkuu wa masoko na mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao(kulia)akijadiliana jambo na
mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Samwel Mwakipesile mara alipowasili
nchini kwa lengo la kujionea jinsi gani kampuni hiyo
inavyoendesha shughuli zake hapa nchini .
Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao akisalimiana na wafanyakazi
wa Vodacom Tanzania mara alipowasili nchini hivi karibuni akiwa na lengo
la kujionea jinsi Vodacom Tanzania inavyoendesha shughuli
zake.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao(kulia)akifafanua jambo kwa
baadhi ya wakuu wa idara mbalimbali za Vodacom Tanzania,alipokuja nchini
hivi karibuni kujionea jinsi Vodacom Tanzania inavyoendesha shughuli
zake,kutoka kushoto Steven Kingu,Nector Foya,Evancy Limo,Philimon
Chacha.
Baadhi ya
wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa wameshikilia bendera ya Taifa
kwenye siku ya Vodacom 50 year Independent day na kumpokea Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodafone Vitorio Colao,alipokuja nchini hivi
karibuni kujionea jinsi Vodacom Tanzania inavyofanya shughuli zake.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)