Mkuu Wa Mkoa Wa Rukwa Eng.Stella Manyanya akiwa kazini - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mkuu Wa Mkoa Wa Rukwa Eng.Stella Manyanya akiwa kazini

Hapo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe.Eng. Stella Manyanya (MB) alipokutana na wasafirishaji hao na kuwashauri kuwa makini kuepusha ajali na kuongeza ubora katika biashara zao kwani biashara yeyote ile bila kujali udogo au ukubwa wake cha muhimu ni kuiongezea ubora(thamani)
Punda nao ni sehemu ya Usafirishaji kwa jamii ya wanarukwa. Zipo fursa nyingi za uwekezaji katika ukanda huu wa Ziwa Tanganyika ukizingatia kuwa barabara zote zinazoingia na kutoka katika mkoa huu zinajengwa kwa kiwango cha lami. Tukiwa safarini Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akisalimiana na Ndugu Joakim Mwaniti alipokuwa kwenye shughuli zake za usafirishaji wa mkaa aliodai kuwa ameununua, alisema hayo baada ya kumtoa wasiwasi kuwa lengo letu sio kumuhoji kuhusu alikopata mkaa huo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages