Kocha
wa mchezo wa ngumi Nchini, Rajabu Mhamila, ' Super D Boxing Coach'
(katikati) akiwatambulisha mabondia, Deo Njiku wa Morogoro (kushoto) na
Jonas Segu wa Dar es salaam, baada ya kupima uzito katika uwanja wa Jamuhuri mjini Morogoro leo kwa ajili ya mpambano wa kuwania ubingwa wa
Taifa wa Oganaizesheni ya ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO) utakaofanyika
kesho jumapili. Picha na Rajab Mhamila
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)