Baadhi
ya wakazi wa Kata ya Majohe Gongolamboto wakiwa katika foleni Dar es
Salaam jana ya uhakiki ili kupokea malipo ya fidia ya thamani za ndani
na matengenezo ya nyumba zilizoathirika na milipuko ya mabomu iliyotokea
kwenye Kambi ya Jeshi la Wananchi (JWTZ) mwezi Februari mwaka huu.Picha Na Majira
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)