Klabu ya Wafanyabiashara wa Benki ya NMB Yazinduliwa Shinyanga - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Klabu ya Wafanyabiashara wa Benki ya NMB Yazinduliwa Shinyanga


Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (kushoto) kizungumza jambo baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana, pamoja nae ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji. Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza (kushoto) akizungumza jambo baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana, pamoja nae ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji.  Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake.
Meneja wa NMB tawi la Manonga, James Subi, (wapili kulia) akimshukuru Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Amina Masenza baada ya kuzindua rasmi klabu ya wafanyabiashara wa Benki ya NMB mkoani Shinyanga jana.  Klabu hiyo inalengo la kuboresha mahusiano na mawasiliano kati ya Benki na wateja wake. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii wa Benki ya NMB, Shy-Rose Banji (kushoto) ni Meneja wa NMB Mikopo Midogo, Mashaga Changarawe.
Meneja wa NMB Mikopo Midogo, Mashaga Changarawe akitoa mada yake juu ya utoaji wa Mikopo.Picha na Mpigapicha wetu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages