ZIARA YA MKE WA RAIS WA BURUNDI NCHINI TANZANIA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ZIARA YA MKE WA RAIS WA BURUNDI NCHINI TANZANIA

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete (kulia) akimkabidhi vipeperushi vya Taasisi yake Mke wa Rais wa Burundi, Mama Denise Bucumi, alipotembelea katika Ofisi za Taasisi hiyo jana, jijini Dar es Salaam,  ambapo alifanya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ya wanawake na watoto pamoja na masuala mengine ya kijamii, Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
Mke wa Rais wa Burundi, Mama Denise Bucumi (kushoto) akizungumza na  waandishi wa habari katika Ofisi za Taasisi ya WAMA jijini Dar es Salaam jana  baada ya kufanya mazugumzo na Mwenyeji wake mke wa Rais Mama Salma Kikwete.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages