HUU
NDIO UBUNIFU WA DARAJA LA JUU KWA WATEMBEA KWA MIGUU WA JIJI LA MBEYA
ENEO LA MWANJELWA MIAKA MIWILI IJAYO KAMA ULIVYOBUNIWA NA TAASISI YA
SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA
SWALI NI JE ITAWEZEKANA? IKIWA SOKO TUU LINASUA SUA NA LIPO BARABARANI ENEO WANALO TAKA KUWEKA KIVUKO HICHO.
Hizi ni taswira mbali mbali zinazo
onesha jinsi ujenzi wa soko kuu la Mwanjelwa ulivyo simama, ulianza kwa
kasi lakini kwa sasa hakuna kinacho endelea na miezi kadhaa iliyo pita
jengo hilo lilibomoka wakati wanaendelea na ujenzi. Tutaendelea
kuwafahamisha zaidi juu ya swala hili
Taswira ya karibu inayo onesha Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya
Picha zote na-Mbeya yetu Blog






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)