Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concept, Juma Pinto (kushoto)
akimkabidhi nakala ya hivi karibuni ya jarida la Jambo Tanzania, Katibu
wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alipotembelea ofisi za kampuni
hiyo mjini Dar es Salaam,jana. Jambo Concept ndiyo wachapishaji wa
gazeti la Jambo Leo. Wapili kulia ni Mhariri Mkuu wa Jambo Leo, Godfrey
Lutego.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)