Wakati
juzi ilikuwa siku ya uzinduzi wa ripoti ya utafiti na mpango wa kitaifa
wa kushughulikia ukatili kwa watoto na mpango wa udhibiti wa taifa,
mpango huo hautafanikiwa ikiwa juhudi kubwa hazitaelekezwa kusaidia
watoto kama hawa wanaoishi katika mazingira magumu, kama wanavyoonekana
pembeni ya Barabara ya Samora, jijini Dar es Salaam juzi.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)