Mchezaji Wa Chelsea John Terry Akigombania Mpira ambao tayari kipa wa Norwich ameshaudaka huku mchezaji Wa Norwich akimsaidia Kipa wake
Jose Bosingwa akishangilia Goli la kwanza alilolipatia timu yake ya Chelsea katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza Dhidi ya Norwich
Mchezaji Wa Chelsea Didier Drogba akipata matibabu mara baada ya kugongana na Kipa wa Norwich John Ruddy katika Mechi ya ligi kuu Uingereza ambapo Chelsea iliifunga Norwich Magoli 3 kwa 1
Juan Mata Mchezaji Wa Chelsea alipoiandikia timu yake ya Chelsea Goli la Ushindi la Tatu na kuifanya Chelsea Kumaliza mechi hiyo kwa kuwatungua Norwich City 3 - 1
Hatimaye timu Ya Chelsea leo imeweza kuibuka Mshindi kwa Kuitungua magoli 3 kwa 1 timu ya Norwich katika Mchezo Huo Wa Leo wa ligi kuu uingereza na kuifanya Chelsea kukaa kileleni ikiwa na Jumla ya Point 7. Na Mpaka Sasa Mchezaji Wa Man United Dimitar Berbatov anaongoza kwa kuwa na magoli 20 akiwa sawa na Mchezaji Mwenzake Wa Zamani Ambaye Sasa ni Mchezaji Wa Man City Carlos Tevez akiwa na Magoli 20. Picha Kwa Msaada wa Mtandao
Kwa matokeo na Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza BOFYA HAPA





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)