ASKARI WA USALAMA BARABARANI WAKIWA CHIMBO kwani Huko porini ndio Magari yanakatiza? - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ASKARI WA USALAMA BARABARANI WAKIWA CHIMBO kwani Huko porini ndio Magari yanakatiza?

Kituo Cha kwanza unaingia Pori unaondoka
 Sehemu ya Pili tena unaingia pori unatoka
Sehemu ya tatu wanangojea waje kusaini
Unaanzia hapa kwanza kwa huyo jamaa alie vaa shati la Blue kisha unamalizia kwa yule jamaa mbele alie vaa shati la kijani. Haya ni matukio mbali mbali ambayo yamepatikana katika eneo husika swali lilikuja je ni kwa nini hawa hawana ofisi zozote na kufanyia kazi chini ya miti?. Picha/Habari Na Latest News Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages