MTANDAO WA KUNYONYA KAZI ZA WASANII WATIWA NGUVUNI JIJINI DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MTANDAO WA KUNYONYA KAZI ZA WASANII WATIWA NGUVUNI JIJINI DAR

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama (kulia) akihijiwa na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari baada ya kufanikiwa kumkamata mmoja kati ya watuhumiwa wa mtandao wa kundi la wanyonyaji wa kazi za wasanii, aliyetambulika kwa jina Mwakwi Yahya, aliyekamatwa pamoja na mwenzake Francis Kamalamu, waliokamatwa maeneo ya Ubungo Maziwa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita
Mtuhumiwa aliyekamatwa akiwa katika kazi ya kudublicate kanda za wasanii, Mwakwi Yahya, mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, akionyesha sehemu tu ya kanda hizo baada ya kukamatwa
Picha na Blog ya Othman Michuzi

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages