TAIFA STARS NDANI YA AFRIKA YA KATI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TAIFA STARS NDANI YA AFRIKA YA KATI


Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Idd Kipingu (wa pili kushoto), akimkabidhi bendera ya Taifa Mkuu wa msafara wa Taifa Stars, Samwel Nyalla, Dar es Salaam kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi katika mchezo wa marudiano na timu ya Taifa ya Jumhuri ya Afrika ya Kati, unaochezwa keshokutwa nchini humo. Kushoto ni Kocha wa timu hiyo, Jan Poulsen na kulia ni nahodha Shadrack Nsajigwa na Meneja wa timu, Leopold Tasso.Picha na Mdau Richard Mwaikenda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages