MATUKIOO WEEKEND NA VODACOM TANZANIA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MATUKIOO WEEKEND NA VODACOM TANZANIA


Vodacom Miss Kurasini Mwajabu Juma akipunga mkono mara baada ya kutangazwa mshindi ,kushoto mshindi wa pili Naifat Ally na mshindi wa tatu kulia Prisca Steven.
 Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude akimkabidhi mshindi wa Vodacom  miss kurasini Mwajabu Juma kiasi cha fedha taslimu cha shilingi 500,000,shindano hilo lilifanyika Jijini Dares Salaam.
Warembo tano bora waliofanyikiwa kuingia katika shindano la kumtafuta  Vodacom Miss kurasini ambapo Mwajabu Juma(9)ndiye alienyakua taji hilo.
  Afisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude,akaiwaaga wachezaji wa timu ya Holy Family ya mkoa wa Ruvuma waliokuwa wakielekea Zanzibar kwenye mashinda ya Muungano Cup watapambana na mshindi wa Zanzibar kesho,kushoto  Mratibu wa shindano hilo Daud  Yassin.
Mmmoja wa wacheza wa timu ya Holy Family ya Mkoa wa Ruvuma akijaribu kumili mpira mbele ya Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude na Mratibu wa shindano la Muungano mara baada ya kukabidhiwa  mipira kwa ajili ya mchezo wa kesho na timu ya Zanzibar.
Mmoja wa washiriki wa shindano la kuogelea la klabu bingwa Tanzania 2011 akijitahidi kumaliza kilometa 200 katika shindano hilo linalofanyika Funky Obitz masaki na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya klabu bingwa Tanzania 2011 wakichumpa kwa kuanza mashindano hayo ya kilometa 200,yanayofanyika Funky Obitz masaki na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages