MKALI wa bongo fleva anayetamba na singo ya Bongofleva Dully Sykes
anatarajiwa kupamba onyesho la kumsaka mrembo wa Miss Dar Inter College
linalotarajiwa kufanyika juni 17 katika ukumbi wa Club Sunsiro uliopo
Sinza, jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa Shindano hilo Vicky Kimaro amesema kwamba maandalizi yanaendelea vema na kwamba warembo 15 toka vyuo vya IFM, Ustawi wa Jamii, CBE na DSJ watapanda jukwaani kuwania taji hilo.
Mratibu wa Shindano hilo Vicky Kimaro amesema kwamba maandalizi yanaendelea vema na kwamba warembo 15 toka vyuo vya IFM, Ustawi wa Jamii, CBE na DSJ watapanda jukwaani kuwania taji hilo.
Na Dina Ismail
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)