MHESHIMIWA JANUARY MAKAMBA NDANI YA VIEPE VYA CHALINZE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MHESHIMIWA JANUARY MAKAMBA NDANI YA VIEPE VYA CHALINZE



Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba akiwa katika mitaa ya stendi ya mabasi Chalinze akisubiri viepe(chips) wakati akiwa njiani kuelea mjini Dodoma kuhudhuria kikao cha Bunge mjini humo jana.Mbunge huyu kutokana na wadhifa wake alikuwa na uwezo wa kula katika migahawa mikubwa iliyo Chalinze lakini alimua kujichanganya uswahilini kutokana na utamu wa viepe hivyo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages