Mgombea Uraisi Kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo CHADEMA Jana alifanya Mkutano wake Katika Jimbo la Monduli.Na Waliokua wana wa CCM 47 Jana waliweza Kusilimishwa na Dr Slaa na kuhamia CHADEMA
Hao ni baadhi ya waliokua wana CCM walipokua wanakabidhi kadi za CCM kwa mgombea Uraisi wa CHADEMA.Dr Willbroad Peter Slaa.
Dr Slaa akiwa anahutubia wana Monduli Jana katika mkutano wake wa kampeni Monduli.
Dr Slaa akiwa na Kadi za CCM zilizorudishwa na waliokuwa wanachama wa CCM Monduli hapo Jana.







No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)