VIONGOZI MBALIMBALI WALIOTEMBELEA BANDA LA TTCL KATIKA MAONYESHO YA KIBIASHARA YA 37 YA KIMATAIFA JIJINI DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

VIONGOZI MBALIMBALI WALIOTEMBELEA BANDA LA TTCL KATIKA MAONYESHO YA KIBIASHARA YA 37 YA KIMATAIFA JIJINI DAR

IMG_0095Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimsikiliza Afisa Biashara wa Mkongo wa Taifa Bw. Thomas Lemunge wakati alipotembelea banda hilo. IMG_0039 Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL wakati wa Ufunguzi rasmi wa maonesho ya 37 .
IMG_9272 (2)Mfalme Mswati III na Waziri Mkuu mhe. Mizengo Pinda wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Idara ya Huduma na Bidhaa zitolewazo na TTCL Bw. Ernest Isaya wakati walipotembelea katika banda hilo. IMG_0081Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe. Jerry Silaa akisaini kitabu cha wageni baada ya kupata maelezo ya kina kuhusu Mkongo wa Taifa unavyosaidia kurahisisha biashara kwa njia ya mtandao, elimu-mtandao, matibabu-mtandao pamoja na kuunganisha n.k
IMG_0103wateja wakipata maelezo kuhusu huduma ya ziada wanazoweza kupata kupitia simu za mkononi za TTCL ikiwa ni pamoja na huduma ya ‘teleconference’ ambapo mteja ana uwezo wa kuongea na watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja ( kufanya mkutano kwa njia ya simu )n.k.
IMG_0105wateja wakipata maelezo kuhusu huduma ya ziada wanazoweza kupata kupitia simu za mkononi za TTCL ikiwa ni pamoja na huduma ya ‘teleconference’ ambapo mteja ana uwezo wa kuongea na watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja ( kufanya mkutano kwa njia ya simu )n.k.
IMG_0192 
Banda la kampuni ya simu ya TTCL kwenye viwanja wa vya maonyesho ya biashara ya TANTRADE.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages