George
Alando meneja usalama na afya wa kampuni ya Layne Driling ya jijini
Morogoro akiwa na mwenzake kwenye banda lao wakati wa maonyesho ya
usalama mahala pa kazi yanayoendelea jijini Arusha na yatafunguliwa na
waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Peter Pinda siku
ya jumapili ambayo itakuwa ni siku ya ukoaji mahala pa kazi. Picha zotE
na Mahamoud Ahmad Arusha
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)