
Baadhi
ya wafuasi wa Chadema wakiwa mbele ya jiwe la msingi mufa mfupi kabla
ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kulizindua mkoani rukwa

Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Mh Freeman Mbowe akizindua mmoja ya mashina mapya ya Chadema Mkoani Rukwa

Mwenyekiti
wa Chadema na Mbunge wa Hai Mh Freeman Mbowe akihutubia muda mfupi
baada ya kuzindua mmoja ya mashina mapya ya Chadema Mkoani Rukwa.Picha
Zote na Chadema
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)