
Wakazi wa Jiji La Dar Wakifukia Kaburi la aliyekuwa Msanii wa Bongo Movie Juma Kilowoko maarufu kama SAJUKI

Sehemu ya waliohudhuria msiba wa Sajuki katika makaburi ya Kisutu

Wadau mabali mbali wakisubiria mwili wa Marehemu Sajuki, huku Profesa Jay akionekana kwa mbali miongoni mwa wanaousubiri mwili.

Umati wa watu ukiwa makaburini Kisutu Dar

Mwili wa marehemu Sajuki ukiwasili katika makaburi ya Kisutu tayari kwa mazishi.Picha Kwa Hisani ya The Choice Blog





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)