KOCHA WA KIMATAIFA WA MASUMBWI SUPER D ATEMBELEA KAMBI YA TIMU YA TAIFA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KOCHA WA KIMATAIFA WA MASUMBWI SUPER D ATEMBELEA KAMBI YA TIMU YA TAIFA

Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' aliechuchumaa akiwa katika picha ya pamoja na mabondia wa Timu ya Taifa pamoja na Makocha wa timu hiyo alipotembelea mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea katika GYM ya Gymkhana  kushoto ni Selemani Kidunda aliekuwa akituwakilisha katika mashindano ya Olimpic 2012 yaliyomalizika hivi karibuni wachezaji hawo kwa sasa wanajiandaa na mashindano ya Taifa yatakayoanza September 15 katika uwanja wa Ndani wa Taifa 
Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa katika picha ya pamoja na mabondia wa timu ya taifa na makocha wenzake alipotembelea mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea katika GYM ya Gymkhana
Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D'  wa pili kulia akiwa katika picha ya pamoja na mabondia wa timu ya taifa na makocha wenzake alipotembelea mazoezi ya timu hiyo yanayoendelea katika GYM ya Gymkhana.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages