WAJUMBE TUME YA KATIBA WAENDELEA NA TATHMINI YA KAZI YA KUKUSANYA MAONI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAJUMBE TUME YA KATIBA WAENDELEA NA TATHMINI YA KAZI YA KUKUSANYA MAONI

 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Alhaji Said El-Maamry akiongea leo (Jumanne, Agosti 7, 2012) katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Raya Suleiman Hamad akiongea leo
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Alhaji Said El-Maamry akiongea leo
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Ally Saleh akiongea leo (Jumanne, Agosti 7, 2012) katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Humphrey Polepole akiongea
 Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Ali Said akiongea leo
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Rishard Lyimo akiongea leo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages