UDOM YAPIGWA TAFU NA KAMPUNI YA TIGO KWA MSAADA WA VITABU 300 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

UDOM YAPIGWA TAFU NA KAMPUNI YA TIGO KWA MSAADA WA VITABU 300

 Makamu Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Elimu, Utafiti na Ushauri (Katikati) Prof Ludovick Kinabo akiwashukuru wawakilishi wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Kwa MSaada wa Vitabu hivyo. Pembeni kulia ni Meneja uhusiano na Udhamini wa Tigo Bw Edward Shila na Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Tigo Kanda ya Kati Bi Fadhila Saidi
 Meneja Uhusiano na Udhamini wa Tigo Bw Edward Shila (Katikati) akionyesha maboksi yenye vitabu 300 ambavyo vimetolewa na kampuni ya simu za mikononi za tigo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM).
Naibu Makamu Mkuu wa Elimu, Utafiti na Ushauri wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Prof Ludovick Kinabo (katikakati) Akipokea msaada wa Vitabu Kutoka Kwa Meneja Uhusiano na Udhamini wa Tigo Bw Edward Shila wakati wa makabidhiano ya Vitabu Hivyo vilivyotolewa na Tigo Chuoni hapo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages