Mamia ya Waandishi wa habari leo wamejitokeza kwa wingi kumuaga
mwandishi mwenzao Alfred Mbogora aliyefariki jana katika hospitali ya
Taifa Muhimbili baada ya kuugua ghafla, mwili wa marehemu umesafirishwa jana kwenda Musoma.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)