MCHAKATO WA KUIRUDISHA TUKUYU STAR WAANZA RASMI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MCHAKATO WA KUIRUDISHA TUKUYU STAR WAANZA RASMI

 Wadau wa timu ya Tukuyu Star Banyambala ya Mbeya wakiwa tayari kwa safari ya kuelekea Tukuyu kwa ajili ya Kongamano la Kuifufua upya timu hiyo iliyovuma miaka ya 1980 na 1990 katika soka la Tanzania na ilifanikiwa kuchuka ubingwa wa Bara mwaka 1986. katika picha kulia ni Kocha Kenny Mwaisabula Mzazi wa pili kutoka kulia waliosimama  ambaye ndiyo kiongozi na Makamu mwenyekiti wa Tukuyu Star Family, Fullshangweblog itakuwa ikikumuvuzishia moja kwa moja matukio ya kongamano hilo kutoka mjini Tukuyu Kesho. yakirushwa na Kamanda wa Fullshangweblog John Bukuku
Hapa wadau hao wakipozi kwa picha kabla ya uanza safari hiyo maeneo ya Ubungo jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages