Maandalizi ya Sensa ya Watu na Makaazi Yanaendelea Vyema Zanzibar - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Maandalizi ya Sensa ya Watu na Makaazi Yanaendelea Vyema Zanzibar

 Mwenyekiti Mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa Tanzania Balozi Seif Ali Iddi akipata maelezo kutoka kwa Kamishna wa Sensa Tannzania Hajat Amina Mrisho Said wakati alipofanya ziara fupi kukagua ghala kuu la vifaa vya Sensa liliopo Kibaha kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati hiyo.
 Mwenyekiti Mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa Tanzania Makamu wa Piliwa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikiendesha Kikao cha Tano cha Kamati hiyo kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kibaha. Kushoto ya Balozi Seif ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Zanzbar Mh. Omar Yussuf Mzee na Kulia ni Naibu Waziri wa Fedha wa Muungano Mh. Saada Mkuya.
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia Idadi ya Watu { UNFPA } Bibi Mariam Khan akiwasailisha salamu za Shirika hilo katika Kikao cha Tano cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa Tanzania kilichokutana Ofisi ya Mkuu a Mkoa Kibaha chini ya Mwenyekiti wake Balozi Seif Ali Iddi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages