Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Uwanja wa Maisara, Zanzibar, ambako ndiko miili ya marehemu huletwa kwa utambuzi baada ya kuokolewa kwenye eneo la ajali leo July 19, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa walionusurika katika
ajali ya meli jana huko Chumbwe wakati Rais na Mama Salma Kikwete
walipowatembelea kuwafariji na kuwapa pole katika hospitali kuu ya Mnazi
Mmoja leo July 19, 2012.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakiangalia maiti za
ajali ya meli leo iliyotokea huko huko Chumbwe wakati jana kilomita chache kufika Zanzibar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa walionusurika katika
ajali ya meli jana huko Chumbwe wakati Rais na Mama Salma Kikwete
walipowatembelea kuwafariji na kuwapa pole katika hospitali kuu ya Mnazi
Mmoja leo July 19, 2012.Picha Na Ikulu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)