WAJASILIAMALI 11,WAKABIDHIWA RUZUKU ZA SAFARI WEZESHWA JIJINI MBEYA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAJASILIAMALI 11,WAKABIDHIWA RUZUKU ZA SAFARI WEZESHWA JIJINI MBEYA

  Meya wa Manispaa ya Mbeya, Athanas Kapunga(kulia) akimkabidhi Rose Maluila mashine ya kutengeneza Crips ya kisasa baada ya kufuzu kupata ruzuku za Safari Wezeshwa,makabidhiano hayo yalifanyika Viwanja vya CCM Iloma Mjini Mbeya mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo
Meya wa Manispaa ya Mbeya, Athanas Kapunga(kulia) akimkabidhi Vumilia Mtweve Viti,Meza,Krti za Bia na Jiko la Kisasa baada ya kufuzu kupata ruzuku za Safari Wezeshwa,makabidhiano hayo yalifanyika Viwanja vya CCM Iloma Mjini Mbeya mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo
Meya wa Manispaa ya Mbeya, Athanas Kapunga(kulia) akimkabidhi Bahati Mbata Cherehani za kisasa baada ya kufuzu kupata ruzuku za Safari Wezeshwa,makabidhiano hayo yalifanyika Viwanja vya CCM Iloma Mjini Mbeya mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo
Meya wa Manispaa ya Mbeya, Athanas Kapunga(kulia) akimkabidhi Phares Lyimo Compresor ya kutengenezea Ngoma za kisasa na mashine ya Welding  baada ya kufuzu kupata ruzuku za Safari Wezeshwa,makabidhiano hayo yalifanyika Viwanja vya CCM Iloma Mjini Mbeya mwishoni mwa wiki.Katikati ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo
  Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na Wajasiliamali,wageni waalikwa na wakazi wa Mbeya wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali wa Safari Wezeshwa katika Uwanja wa CCM Ilomba Mbeya mwishoni mwa wiki.
  Meya wa Manispaa ya Mbeya, Athanas Kapunga(kulia) akimkabidhi Hellen Mwanguku mashine ya kuwokea mikate baada ya kufuzu kupata ruzuku za Safari Wezeshwa,makabidhiano hayo yalifanyika Viwanja vya CCM Iloma Mjini Mbeya mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages