WAFANYAKAZI BENKI YA UBA WAKIJIANDAA KWENDA KATIKA MAZOEZI KIGAMBONI AMBAKO PIA WALITOA MSAADA KITUO CHA HOPE FAMILY - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAFANYAKAZI BENKI YA UBA WAKIJIANDAA KWENDA KATIKA MAZOEZI KIGAMBONI AMBAKO PIA WALITOA MSAADA KITUO CHA HOPE FAMILY

Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya UBA wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kwenda kwenye mazoezi Kigamboni jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Kushoto ni Bw. Rock Meneja mkazi wa benki ya UBA nchini na kushoto ni Victor Meneja wa tawi la benki ya UBA Kariakoo wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakijiandaa pamoja na wafanyakazi wengine wa benki hiyo katika tawi la City Centre Branch Posta,  kwenda Kigamboni ambako walikuwa na mazoezi ya viungo  na baadae walitoa misaada mbalimbali ya kibinadamu ikiwa ni vyakula mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni mbili, katika kituo cha watoto yatima cha cha Hope Family kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
Kutoka kulia ni Jack, Marjory, Asha na Natasha wakipozi kwa picha wakati wakijiandaa kwenda kigamboni kwa ajili ya kufanya mazoezi na kutoa msaada katika kituo cha watoto yatima cha Hope Family kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages