MWANAMAMA APATA KICHAPO KWA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MWANAMAMA APATA KICHAPO KWA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU

 Mwanamke ambae jina lake halikuweza kufaamika alijikuta akiambulia kipigo kutoka kwa wananchi baada ya kutuhumiwa kumchomolea mama mmoja simu ya kokononi maeneo ya mtaa wa Kongo jijini Dar es salaam.
    Hapa akichukua kichapo kutoka kwa wanchi wenye hasira kali
Hapa akikimbia baada ya kichapo kilichomtia adabu.PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages