Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Iddy Akutana na Mwakilishi wa Taasisi ya Huduma za Teknolojia ya Afya ya Chuo Kikuu Cha Brown Kilichopo Boston Nchini Marekani - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Balozi Seif Iddy Akutana na Mwakilishi wa Taasisi ya Huduma za Teknolojia ya Afya ya Chuo Kikuu Cha Brown Kilichopo Boston Nchini Marekani

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Iddy akimsalimia mwakilishi wa Taasisi ya Huduma za Teknolojia ya Afya ya Chuo Kikuu Cha Brown kilichopo Boston Nchini Marekani Bw. Jayson ofisini kwake Vuga mjini Unguja, Zanzibar. Katikati ni Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo Bwana Hai Sheng Chia. 
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Mwakilishi wa Taasisi inayojihusisha na  huduma za Teknolojia ya Afya Nchini Marekani ya Med International Bwana Jayson Marwaha ambaye wapo Nchini kufanya utafiti wa Afya kwa Hospitali za Zanzibar. Hatua hii ni utekelezaji wa ahadi waliyompa Balozi Seif wakati walipokutana nao Nchini Marekani Mwezi Oktoba Mwaka jana.Kulia Kwa Balozi Seif ni Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Dr. Sira Ubwa Mwamboya.Picha na Saleh Masoud-Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages