WANAFUNZI UDOM WAANZA KUCHEKA MARA BAADA YA MAJINA YA MKOPO KUTOKA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WANAFUNZI UDOM WAANZA KUCHEKA MARA BAADA YA MAJINA YA MKOPO KUTOKA

Wanafunzi wa UDOM wakiwa Makini kuangalia majina yao kwaajili ya kuanza zoezi la kusaini na kupewa pesa zao za kujikimu  baada ya msoto wa zaidi ya wiki tatu huku hali ikiwa mbaya chuoni hapa.Wanafunzi hao wameonekana kuwa na furaha na matumaini ya kupata pesa zao kutokana na kukaa zaidi ya wiki tatu bila kupata pesa zao  na kupelekea wanafunzi hao kuwa na maisha magumu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages