WAKE WA VIONGOZI WATEMBELEA KAMBI YA CHANETA KIBAHA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAKE WA VIONGOZI WATEMBELEA KAMBI YA CHANETA KIBAHA

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama za Netiboli Tanzania (CHANETA), Anna Bayi moja kati ya katoni 40 za maji ya kunywa wakati wake wa viongozi  walipotembelea kambi ya timu ya taifa ya netiboli, Taifa Queens kwenye shule ya sekondari ya Filbert Bayi, Kibaha Mai 1, 2012.  Kulia ni Mke wa Mkamu wa Rais, Mama Zakia Bilal  na watatu kulia pia ni  Mke  wa Makamu wa Rais, Mama Asha  Bilal kushoto ni Mama Hasna Kawawa.
Wake wa Viongozi Wakuu wa Serikali ambao ni wananchama wa New Millenium Group wakihuhudia mazoezi ya timu ya taifa ya netiboli, Taifa Queens kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Filbert Bayi iliyopo Kibaha, Mai Mosi 2012.  Kutoka kushoto ni Regina Lwassa, Zakia Bilal, Mwenyekiti wa CHANETA, Anna Bayi, Tunu Pinda, Anna Mkapa, Asha Bilal na Khadija Mwinyi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages